Aidha Dr.Magufuli amesema azma yake ya elimu bure hadi kidato cha
nne ipo pale pale na kuanzia mwakani amepiga marufuku mchango wa aina
yoyote kwa shule za umma ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa hilo.asema: "Watu wazembe na wavivu wajiandae, tumewavumilia kwa muda mrefu na wakati wa kuvumiliana umekwisha.asema kuwajibisha mafisadi bila kuwaonea haya ya aina yoyote,
Pia amezungumzia mikakati yake ya kutekeleza kivitendo azma ya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati.


0 comments:
Post a Comment