Thursday, 19 November 2015


Waziri Mkuu mteule Kassim Majaliwa ametangazwa Mshindi wa nafasi hiyo Spika wa Bunge Job Ndugai kwa kupata kura 258 sawa na asilimia 73.5 ya kura zilizopigwa na kuthibitishwa na Spika wa Bunge.
-Idadi ya wabunge kikatiba 394,Wabunge waliosajiliwa 369,Akidi 184,idadi ya wabunge waliokuwepo ukumbini wakati wa zoezi la kupiga kura 351,Kura zilizopigwa 351,Kura mbili ziligharibika,idadi ya kura halali 349,
Matokeo.Idadi ya kura za hapana 91 sawa na asilimia 25 .9,idadi ya kura zilizoharibika 2 sawa na asilimia 0.06.
Kwa mujibu wa Spika wa Bunge Job Ndugai,Waziri huyu mteule ataapishwa kesho katika viwanja vya Chamwino Dodoma.

0 comments:

Post a Comment

wanaotutazama


hit counter

tz shiling exchange

MY CALENDAR

Total Pageviews

Recent Posts

find us on twitter

Find Us On Facebook

MATANGAZO