Nyumba 1000 zimeharibiwa na moto ambao umekuwa ukiwaka kwa zaidi ya wiki moja California nchini Marekani.
Maafisa
wa idara ya usalama wa umma Kaskazini mwa jimbo la California nchini
Marekani wanasema kuwa moto huo huenda ukaenea zaidi na kusababisha
uharibu mkubwa zaidi.Takriban watu 5 wameaga dunia kutokana na moto huo.
Maafisa wanasema kuwa moto wa kipindi hiki katika jimbo la California ambao mara nyingi hutokea kati ya mwezi Septemba na Oktoba unatarajiwa kuwa mkubwa zaidi katika historia.chanzo bbc

0 comments:
Post a Comment