Tuesday, 9 August 2016




Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imevipiga faini ya Shilingi milioni kumi na tisa vituo viwili vya Televisheni na kimoja Cha Redio kutokana na kukiuka maadili na kanuni za huduma za utangazaji ya mwaka 2005.
Uamuzi wa kuvipiga faini vituo hivyo vya habari umetolewa na Kamati ya Muadhui baada ya kupitia mashauri matatu na kujiridhisha kuwa wamekiuka maadili.
Kituo cha utangazaji cha ITV kimepigwa faini ya shilingi milioni kumi kutokana na makosa mawili ambapo kosa mojawapo ni kipindi cha KUMEKUCHA kutumika kumkashifu Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Tulia Akson.
Clouds Radio nao wamepewa onyo la kukiuka kanuni za huduma za utangazaji na kutozwa faini ya shilingi milioni 5 kutokana na Watangazaji wa kipindi cha JAHAZI kusikika wakishabikia taarifa ya ufanyaji ngono kati ya mtu na mbuzi.
Adhabu ya aina hiyo imewakumba pia wenzao wa Clouds Tv ambao wamepigwa faini ya shilingi milioni tano kwa kurusha hewani video za wimbo THANKS FOR COMING wa Mwana FA na BREAK IT DOWN wa Lil Bebbie zenye Picha za wanawake wakiwa nusu uchi katika muda ambao idadi kubwa ya watazamaji ni watoto.

1 comment:

  1. Habari Kila mtu,

    Mimi nina Miller Porter Private mkopo Taasisi kwa wema Kazi sifa,
    millerporter102@yahoo.com Kuomba leo kama unahitaji dharura
    mkopo kutoka kampuni reputable, na hali nzuri na mahusiano ya kazi,
    basi unapaswa kuwasiliana na sisi kama sisi kutoa mikopo kwa
    kiwango cha bei nafuu maslahi ya 3% na kazi yako na sisi
    itakuwa uzoefu mzuri. Kama una nia, wasiliana
    nasi kwa barua pepe: millerporter102@yahoo.com

    +2349057519652
    millerporter102@yahoo.com
    http://millerporter102.wix.com/potterfirms

    Mimi wakisubiri majibu yako mwepesi
    Mr Miller Porter

    ReplyDelete

wanaotutazama


hit counter

tz shiling exchange

MY CALENDAR

Total Pageviews

Recent Posts

find us on twitter

Find Us On Facebook

MATANGAZO