
Nimewasili mkoa wa Katavi,nimefanya ukaguzi kwenye kambi ya wakimbizi ya KATUMBA ambako kuna zoezi la uhakiki wa waliokuwa wakimbizi kutokea kwa majirani zetu Burundi na baadae tuliamua kuwapa uraia wa Tanzania mwaka 2009.
Zoezi hili la uhakiki linafanyika ilikuchunguza mienendo yao na uwepo wao kwenye eneo la kambi.Kumekuwepo nataarifa za baadhi ya ndugu zetu hawa kujihusisha na watu waovu,kufanya vitendo vya kibaguzi na kutoka nje ya kambi zao na kwenda nchi jirani bila kibali.
Mbali na kambi ya katumba,pia nimetembelea kambi ya Mishamo.Nimewaagiza vyombo vya usalama na kupitia serikali za mitaa kuwachukulia hatua watu wanaojihusisha na vitendo hivyo.
Tanzania hatua tabia za kibaguzi,moja kati ya sifa kubwa ya nchi yetu ni kushinda vita dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote tangu tulipopata uhuru.
Zoezi hili la uhakiki linafanyika ilikuchunguza mienendo yao na uwepo wao kwenye eneo la kambi.Kumekuwepo nataarifa za baadhi ya ndugu zetu hawa kujihusisha na watu waovu,kufanya vitendo vya kibaguzi na kutoka nje ya kambi zao na kwenda nchi jirani bila kibali.
Mbali na kambi ya katumba,pia nimetembelea kambi ya Mishamo.Nimewaagiza vyombo vya usalama na kupitia serikali za mitaa kuwachukulia hatua watu wanaojihusisha na vitendo hivyo.
Tanzania hatua tabia za kibaguzi,moja kati ya sifa kubwa ya nchi yetu ni kushinda vita dhidi ya ubaguzi wa aina yoyote tangu tulipopata uhuru.
Natoa rai kwa raia wote tuliowapa kibali cha kufanya kazi,kuishi na kuwa raia wa nchi yetu, waache kujihusisha na vitendo viovu na vyakibaguzi.Hatutawavumilia watu ambao tumewakaribisha kwa nia njema hapa nchini na baadae wahatarishe usalama na amani ya nchi yetu.
Vilevile nimekutana na askari wetu wa jeshi la polisi na idara zake zote na nimetembelea gereza la mpanda ikiwa ni ziara ya kupata uhalisia wa changamoto zinazokabili jeshi la polisi,magereza,uhamiaji na zimamoto kwa kila mkoa,tayari kwa majawabu ya kudumu.
"usalama wetu,jukumu letu sote"














Habari Kila mtu,
ReplyDeleteMimi nina Miller Porter Private mkopo Taasisi kwa wema Kazi sifa,
millerporter102@yahoo.com Kuomba leo kama unahitaji dharura
mkopo kutoka kampuni reputable, na hali nzuri na mahusiano ya kazi,
basi unapaswa kuwasiliana na sisi kama sisi kutoa mikopo kwa
kiwango cha bei nafuu maslahi ya 3% na kazi yako na sisi
itakuwa uzoefu mzuri. Kama una nia, wasiliana
nasi kwa barua pepe: millerporter102@yahoo.com
+2349057519652
millerporter102@yahoo.com
http://millerporter102.wix.com/potterfirms
Mimi wakisubiri majibu yako mwepesi
Mr Miller Porter