Thursday, 5 November 2015
03:04
Unknown
No comments
Rais wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli amewashukuru wa Tanzania viongozi wa dini vyama vya upinzani na watu mbali mbali waliohudhuria wakati wa kuapishwa na kusema kuwa kuchaguliwa kwake atafanya kazi kwa bidii kwani ana deni kubwa na atatanguliza mbele maslahi ya Taifa bila kujali vyama ili kupeleka mbele maendeleo ya Taifa.
Amezungumza hayo muda mfupi baada ya kuapishwa na kusema kuwa watanzania wamuunge mkono yeye na Makamu wake wa Rais Samia Suluhu Hassan ili kuleta maendeleo ya taifa hivyo kikubwa ni kumtanguliza mungu mbele kwanza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


0 comments:
Post a Comment