Monday, 12 October 2015



Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Abdallah Kigoda alifariki dunia siku ya Jumatatu nchini India alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Katibu wa Bunge la Tanzania Dkt Thomas Kashilila amethibitisha taarifa hizo, na kusema kuwa Dkt Kigoda alikuwa akitibiwa katika hospitali ya Apollo, New Delhi nchini India
Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Ofisi ya Bunge, kimesema taarifa zaidi kuhusu msiba na taratibu za kurejesha mwili nchini Tanzania zitaendelea kutolewa na Serikali na Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia ya marehemu kadiri zinavyoendelea kupatikana. chanzo bbc

0 comments:

Post a Comment

wanaotutazama


hit counter

tz shiling exchange

MY CALENDAR

Total Pageviews

Recent Posts

find us on twitter

Find Us On Facebook

MATANGAZO