Rais wa Uganda Yoweri Museveni
huenda akapata afueni baada ya muungano wa upinzani kushindwa kuungana
kufuatia mkutano mrefu wa wiki moja ili kukubaliana kuhusu mgombea mmoja
katika uchaguzi wa mwaka ujao.
Image copyright AFP.
litarajiwa kuwa ungemchagua Kizza Besigye kutoka chama cha Forum for Democratic Change ama aliyekuwa waziri mkuu Amama Mbabazi.
Mgombea mmoja wa upinzani ina maanisha kwamba kura zitawekwa katika kikapu kimoja ,lakini huku wagombea kadhaa wa upinzania wakioonekana katika kinyanganyiro ,huneda kura zikagawanyika.

0 comments:
Post a Comment