Tuesday, 15 September 2015

Bunge la Zimbabwe limeahirisha matangazo ya hotuba ya rais Robert Mugabe baada ya upinzani kutishia kuvuruga hotuba hiyo.
Mwezi uliopita ,wakati wa hotuba yake kwa bunge la taifa hilo,wanachama wa upinzani walimzoma kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 91.
Wanamlaumu kwa kudorora kwa uchumi wa taifa hilo.
Rais Mugabe amekuwa madarakani tangu mwaka 1980.
chanzo bbc

0 comments:

Post a Comment

wanaotutazama


hit counter

tz shiling exchange

MY CALENDAR

Total Pageviews

Recent Posts

find us on twitter

Find Us On Facebook

MATANGAZO